Katibu Mtedaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk Charles Msonde
ametangaza matokeo ya mitihani ya Shule za Sekondari ya Kidato cha Nne
ya mwaka jana na kusema, kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 10
ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2013.
Akizitaja shule kumi bora kwa ufaulu, Dkt Msonde amesema shule hizo ni:
Kaizirege mkoa wa Kagera
Mwanza Alliance mkoa wa Mwanza
Marian
↧