Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matokeo Form Four: Shule 10 Bora kwa Ufaulu na Shule 10 za Mwisho ziko hapa

$
0
0
Katibu Mtedaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk Charles Msonde ametangaza matokeo ya mitihani ya Shule za Sekondari ya Kidato cha Nne ya mwaka jana na kusema, kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 10 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2013. Akizitaja shule kumi bora kwa ufaulu, Dkt Msonde amesema shule hizo ni: Kaizirege mkoa wa Kagera Mwanza Alliance mkoa wa Mwanza Marian

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>