Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kikundi cha Magaidi kilichoko Tanga Chajeruhi Polisi Wanne na Kuua Mwanajeshi mmoja wa JWTZ wakati wa Mapigano yaliyoanza Juzi Usiku

$
0
0
Askari sita wakiwemo wanne wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wamejeruhiwa vibaya kwa risasi wakati wa mapigano baina yao na watu wanaodhaniwa kuwa ni wahalifu wakati wa Msako Maalum wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye moja ya eneo la mapango ya Amboni. Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, amebainisha hayo alasiri ya  jana, wakati akitoa taarifa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>