Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba Watakiwa Kuripoti Kabla ya March 28

Serikali imeagiza wakuu wote wa mikoa, kuweka mikakati ya kuhakikisha watoto wote waliofaulu mitihani ya darasa la saba, wanajiunga na shule za sekondari katika kipindi hiki kabla ya Machi 28 mwaka...

View Article


CCM Yakana Kuandaa Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, imesema chama hicho hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa. Kimesema mgombea  mwenye sifa za kulikomboa jimbo hilo, ambalo...

View Article


Wahitimu wa JKT Watangaza kufanya Maandamano ya Siku tatu Mfululizo jijini...

Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wanatarajia kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu ijayo, kushinikiza kuonana na...

View Article

Dawa Zilizopigwa MARUFUKU Zazagaa Mitaani....Wananchi Wataka TFDA Ichue hatua...

Licha ya Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA) kufuta usajili na kupiga marufuku uuzaji wa dawa duni, zenye madhara na zisizofaa kwa matumizi ya binadamu, dawa hizo zimegundulika kuuzwa holela...

View Article

CUF Yaitikisa UKAWA......Yatangaza Profesa Lipumba Atawania Urais Mwaka huu

Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais. Pia chama hicho, kimetoa...

View Article


Shule za Vipaji Maalumu zashindwa KUFURUKUTA katika Matokeo ya Kidato cha Nne

Shule za sekondari za Serikali zinazochukua watoto wenye  vipaji, zimeshindwa kung'aa kwenye matokeo ya kidato cha nne 2014 huku shule ya Ilboru ya mjini Arusha ikiwa ni shule ya kwanza ya Serikali na...

View Article

Mapambano Makali Bado Yanaendelea Kuwasaka MAGAIDI wa Tanga.....Hii ni Video...

Kutokana na wahalifu wanaopambana  na polisi na Jeshi la Wananchi (JWTZ) kutokamatwa, hali ya wasiwasi imeendelea miongoni mwa wakazi wa mjini hapa. Sasa wananchi hao wameiomba Polisi kutoa tamko,...

View Article

Mungu ni Mkubwa: Mama yake Diamond Arejeshwa toka India......Afya yake kwa...

Mungu ni  mkubwa :Mama mzazi wa Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’, amerejeshwa Bongo kutoka India ambapo afya yake imetengemaa. Habari kutoka chanzo cha...

View Article


Mamia wamzika Baba Mzazi wa Dully Sykes, Mzee Abby Sykes Jijini Dar

Baba wa staa wa muziki Dully Sykes, Marehemu Abby Sykes aliyefariki dunia juzi katika hospitali ya taifa Muhimbili amezikwa jana katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam. Msiba huo mkubwa katika...

View Article


Buzwagi Kusitisha Uchimbaji wa Dhahabu

Kampuni ya Acacia inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imesema ndani ya miaka miwili, itasitisha shughuli za uchimbaji na uzalishaji madini hayo, kutokana na soko kuzidi kushuka....

View Article

Watu 50 Waliohusika na Vurugu za Geita Wakamatwa.....Mkuu wa Wilaya Aagiza...

Zaidi ya watu 50 wamekamatwa na jeshi la polisi kufuatia vurugu kubwa iliyotokea katika mji wa katoro mkoani Geita. Chanzo cha vurugu hizo ni mgomo wa wanafunzi wa shule za msingi kilimani, Mkapa na...

View Article

Ajira 40,735 Zazalishwa Ndani ya Miezi Mitatu

Ajira 40,735 zimezalishwa ndani ya miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi Desemba mwaka jana na kufanya jumla ya ajira 173,787 kupatikana kwa kipindi cha nusu mwaka kuanzia Julai hadi Desemba mwaka jana....

View Article

Anaswa Akiwa na Lundo la Vyeti Feki

Mtu anayetuhumiwa kwa utapeli, amekamatwa wilayani Hanang’ mkoani Manyara akidaiwa kuwa na vyeti bandia vitatu vya ajira tofauti akidai ni mwalimu, ofisa mifugo na polisi. Mtuhumiwa huyo, Hamis Yusufu...

View Article


Kesi ya Ugaidi: Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, iliimarisha ulinzi wakati kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed...

View Article

Rais Kikwete aongoza maziko ya Chifu Abdul Mkwawa ambapo Mwanafunzi wa Miaka...

Mwanafunzi wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa mkoani Iringa. Rais  Jakaya Kikwete alishiriki maziko ya...

View Article


Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta Amsimamisha Kazi Kaimu Mkurugenzi wa...

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni....

View Article

'Magaidi wa Tanga' Watiwa Mbaroni.....Mwili wa Mwanajeshi wa JWTZ Aliyeuawa...

Serikali imetoa taarifa rasmi kuhusu uhalifu uliotikisa mkoani Tanga, ikisema hali ni shwari na umma wa Watanzania upuuze taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikitia hofu. Aidha, imesema...

View Article


Mama wa mtoto albino aliyetekwa Geita azungumza alivyojeruhiwa na kuporwa...

MAMA wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yojana Bahati (1), Ester Thomas aliyelazwa katika hospitali ya Bugando akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa, ameelezea jinsi alivyovamiwa na watu...

View Article

Wanafunzi Wanaoshindwa Kulipa ADA Wasifukuzwe Shule

WAKUU wa shule za sekondari wilayani Namtumbo, wamepigwa marufuku kuwafukuza wanafunzi ambao wanashindwa kulipa ada na michango mingine kwa kuwa inawasababisha watoto kupoteza muda wao mwingi wa...

View Article

Ashitakiwa kwa Kumtia Vidole Sehemu za Siri Mtoto wa Miaka Minne

MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.   Benson alifikishwa mahakamani...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>