Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya Ugaidi: Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Afikishwa Mahakamani chini ya Ulinzi Mkali

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, iliimarisha ulinzi wakati kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake ilipotajwa. Askari walikuwa wengi katika eneo la Mahakama huku kila mtu aliyeingia getini akikaguliwa  kwa kifaa maalumu na kupapaswa ili kuangalia kama ana silaha.   Jana kesi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles