Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Anaswa Akiwa na Lundo la Vyeti Feki

$
0
0
Mtu anayetuhumiwa kwa utapeli, amekamatwa wilayani Hanang’ mkoani Manyara akidaiwa kuwa na vyeti bandia vitatu vya ajira tofauti akidai ni mwalimu, ofisa mifugo na polisi. Mtuhumiwa huyo, Hamis Yusufu alikamatwa katika kata ya Gissambalang’ wilayani Hanang kwa ushirikiano wa ofisi ya diwani pamoja na polisi jamii.   Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Diwani wa kata ya Gissambalang

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>