Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Yakana Kuandaa Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, imesema chama hicho hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa. Kimesema mgombea  mwenye sifa za kulikomboa jimbo hilo, ambalo liko Chadema, hajajitokeza mpaka sasa.   Akizungumza na Mpekuzi, Katibu wa CCM wa Wilaya ya Arusha ,Feruzi Banno alisema  chama kina utaratibu wake wa kampeni na chama hakina mgombea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>