Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wahitimu wa JKT Watangaza kufanya Maandamano ya Siku tatu Mfululizo jijini Dar Jumatatu Ijayo.....Lengo ni Kushinikiza Serikali Iwape AJIRA

$
0
0
Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wanatarajia kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu ijayo, kushinikiza kuonana na Rais Jakaya Kikwete kumweleza matatizo ya ajira wanayokabiliana nayo. Wahitimu hao jana walifanya mkutano katika eneo la Msimbazi Centre, Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Vijana waliohitimu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles