Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 50 Waliohusika na Vurugu za Geita Wakamatwa.....Mkuu wa Wilaya Aagiza Walimu wakuu Walioruhusu Wanafunzi Kufanya Fujo Washushwe Vyeo

$
0
0
Zaidi ya watu 50 wamekamatwa na jeshi la polisi kufuatia vurugu kubwa iliyotokea katika mji wa katoro mkoani Geita. Chanzo cha vurugu hizo ni mgomo wa wanafunzi wa shule za msingi kilimani, Mkapa na Ludete ambapo walilala katikati ya barabara, kushinikiza kuwekewa matuta kutokana na matukio ya ajali ya mara kwa mara hivyo kutishia usalama wao.   Hata baada ya kuwekewa matuta kuzuia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>