Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Buzwagi Kusitisha Uchimbaji wa Dhahabu

$
0
0
Kampuni ya Acacia inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imesema ndani ya miaka miwili, itasitisha shughuli za uchimbaji na uzalishaji madini hayo, kutokana na soko kuzidi kushuka. Meneja Mkuu wa mgodi huo, Filbert Rweyemamu alisema hayo juzi  katika kikao cha pamoja baina ya mgodi na wajumbe wa Kamati ya Kijiji cha Mwime,  iliyoundwa na uongozi wa mtaa wa Mwime kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>