Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shule za Vipaji Maalumu zashindwa KUFURUKUTA katika Matokeo ya Kidato cha Nne

$
0
0
Shule za sekondari za Serikali zinazochukua watoto wenye  vipaji, zimeshindwa kung'aa kwenye matokeo ya kidato cha nne 2014 huku shule ya Ilboru ya mjini Arusha ikiwa ni shule ya kwanza ya Serikali na iko nafasi ya 35 kati ya shule 2,320 zilizofanya mtihani  wa kidato cha nne 2014. Mwaka 2013, Ilboru ilishika nafasi ya 41 chini ya shule nyingine yenye vipaji ya Mzumbe ambayo katika matokeo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>