Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) Kimemtaka Waziri Sitta Aibane...

CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) kimewaomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sita kuingilia kati na kuagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), isikilize kilio cha...

View Article


Mchumi wa Wizara ya Ardhi Afikishwa Mahakamani akituhumiwa Kumshika Matiti...

MCHUMI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Brown Kajange (42) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu mashitaka mawili, likiwamo la shambulio la aibu kwa kumshika matiti...

View Article


Bofya Hapa Ujiunge na Kliniki ya Nguvu za Kiume......Rejesha Heshima yako...

Wewe   ni  mwanaume  ? Unakabaliwa  na  tatizo  la ukosefu  &  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  ? Unaishi  jijini  Dar  Es  salaam? Unahitaji  kupata  tiba  asilia na  ya  uhakika  kwa ajili  ya...

View Article

Bunduki Waliyoporwa Polisi na 'Magaidi wa Tanga' Yapatikana ikiwa na Risasi...

Polisi  mkoani Tanga imesema imefanikiwa kupata bunduki aina ya SMG, ikiwa na risasi 20 ndani ya mapango ya Majimoto katika eneo la Amboni, inayodaiwa ilikuwa ikitumiwa na wahalifu waliorushiana...

View Article

Majambazi yafunga mtaa jijini Mwanza na kuua mtu mmoja

Matukio ya ujambazi na mauaji ya kutumia silaha, yameanza kuibuka kwa kasi katika maeneo mbalimbali nchini.   Hali hiyo imekuwa ikihojiwa na wananchi na wapenda amani na zaidi ni kuhusu intelijensia...

View Article


Mtoto Albino Aliyetekwa Aokotwa Akiwa Amekufa Mstuni

Mtoto Yohana Bahati mwenye ulemavu wa ngozi aliyepotea tarehe 15 wilayani chato amepatikana amekufa huku akiwa hana baadhi ya viungo vyake vya mwili. Mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Yohana...

View Article

Fundi Saa Apokea Kichapo kizito Akidaiwa Kumlawiti Mtoto jijini Arusha

Mwanaume  mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha jana alipokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo.

View Article

Chid Benz Akiri Mashitaka Yake Matatu Mahakamani......Kesi yake kusikilizwa...

Msanii  wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva), Rashidi Makwiro (29), maarufu kama Chid Benz jana amekiri mahakamani mashitaka matatu yanayomkabili ya kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye...

View Article


Majina ya Wakuu wa Wilaya Wapya walioteuliwa na Rais Kikwete yako...

Paul Makonda, aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42...

View Article


Picha za Uchi: Mpenzi wa Desire Luzinda akamatwa

Franklin Emoubor, raia wa Nigerian ambaye alikuwa mpenzi wa mwanamuziki nyota wa kike nchini Uganda Desire Luzinda amekamatwa. Waziri wa Maadili wa Uganda Mchungaji Simon Lokodo, amesema kuwa...

View Article

Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni

Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye...

View Article

Kingwendu kugombea ubunge mwaka huu

Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania wengi bila ya Kutaja...

View Article

Kortini kwa tuhuma za kununua "Malaya wa Buguruni Rozana"

WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Jiji kwa tuhuma za kununua machangudoa katika eneo la Buguruni Rozana jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa hao waolifikishwa Jumanne ya wiki hii katika mahakama...

View Article


Ustadh aliyelawiti mwanafunzi wake aongezewa miaka 15 jela

Mwalimu wa madrasa ya Kadiria iliyopo Amani mjini Zanzibar, Hamad Bakar Mohammed, anaetumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kumlawiti  mwanafunzi wake wa kiume, ameongezewa adhabu nyingine ya...

View Article

Muuza Mishikaki Maarufu Temeke Stand Apata Kichapo Baada ya Kukutwa Anauza...

Muuuza mishikaki maarufu temeke standi ya mabasi aitwaye Said mishikaki amekamatwa  na nyama ya paka jana akiwa anaitengeneza kwa ajili ya Kuchoma Mishikaki..   Wananchi wenye hasira kali walimshushia...

View Article


Balaa la Mchepuko: Mume wa mtu Aumbuka......Baada ya fumanizi Apewa kichapo...

Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Joseph amejikuta akiaibika vikali kufuatia kudaiwa kunaswa akiwa na mwanamke mwingine ilhali yeye ni mume wa mwanamke aitwaye Sophia. Kwa mujibu wa mashuhuda,...

View Article

Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijawahi toa Kizazi ili Nifanikiwe Kifedha

Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha...

View Article


Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yazua Balaa, Wengi Wamtaka Aache...

Nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo .....

View Article

Ugaidi Tanga: Wasomali Wawili Watiwa Mbaroni

JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limewatia mbaroni watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa na asili ya Somalia katika msako unaoendelea dhidi ya kundi la...

View Article

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa jijini Mwanza Ajinyonga

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Shamariwa ‘A’, Kata ya Igoma, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, Julias Makoye (CCM), amekutwa amejinyonga juu ya mti ulio jirani na nyumba yake usiku wa jana....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>