Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa jijini Mwanza Ajinyonga

$
0
0
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Shamariwa ‘A’, Kata ya Igoma, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, Julias Makoye (CCM), amekutwa amejinyonga juu ya mti ulio jirani na nyumba yake usiku wa jana.   Makoye aliyetangazwa mshindi wa kiti hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba 14, mwaka jana, ameuongoza mtaa huo kwa awamu ya pili baada ya kuongoza miaka mitano

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles