Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Oparesheni ya kuwasaka wauaji Morogoro yaanza

$
0
0
Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limeanza kufanya oparesheni ya kuwatafuta  watuhumiwa waliohusika na mauaji ya  watu  watatu  wakiwemo wakulima wawili na mfugaji mmoja,  kufuatia mapigano yaliyozuka kati  ya wakulima na wafugaji  katika bonde la matembele linalounganisha kijiji cha Mabwegere na Mbigiri wilayani kilosa mkoani Morogoro.   Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elis Tarimo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles