Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijiji Chaunganishwa na Umeme wa Kutumia Kuni

$
0
0
Wakazi wa kijiji cha  Uchindile wilayani Ifakara mkoani Morogoro wamepata umeme unaozalishwa kwa kutumia kuni baada ya kuzinduliwa kwa mtambo wa 10kW uliotolewa na kampuni ya kimataifa ya Camco Clean Energy. Mtambo huo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 75 ulizinduliwa na Mwakilishi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID), Rogness Swai katika hafla iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>