Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto Albino Aliyetekwa Aokotwa Akiwa Amekufa Mstuni

$
0
0
Mtoto Yohana Bahati mwenye ulemavu wa ngozi aliyepotea tarehe 15 wilayani chato amepatikana amekufa huku akiwa hana baadhi ya viungo vyake vya mwili. Mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyetekwa siku tatu zilizopita, umepatikana ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika kitongoji cha mapinduzi kijiji cha Rumasa ndani ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>