Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ustadh aliyelawiti mwanafunzi wake aongezewa miaka 15 jela

$
0
0
Mwalimu wa madrasa ya Kadiria iliyopo Amani mjini Zanzibar, Hamad Bakar Mohammed, anaetumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kumlawiti  mwanafunzi wake wa kiume, ameongezewa adhabu nyingine ya miaka 15 jela na Mahakama ya Rufaa Tanzania. Hukumu hiyo ilikuja baada mshitakiwa huyo kupinga kifungo cha miaka 15 alichopewa na Mahakama Kuu Zanzibar baada ya upande wa mashtaka kupinga

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>