Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majina ya Wakuu wa Wilaya Wapya walioteuliwa na Rais Kikwete yako hapa.......12 Wamesimamishwa na 64 Wamebadilishiwa Vituo

$
0
0
Paul Makonda, aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.    Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI jana mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>