Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi
wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke
wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito
wakitupiana vijembe mtandaoni.
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa
mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa
tayari kila
↧