Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Joseph amejikuta akiaibika
vikali kufuatia kudaiwa kunaswa akiwa na mwanamke mwingine ilhali yeye
ni mume wa mwanamke aitwaye Sophia.
Kwa mujibu wa mashuhuda, aibu hiyo ilimkuta Joseph, Februari 14,
mwaka huu (Siku ya Wapendanao Duniani) kwenye Kitongoji cha Nyihongo
wilayani Kahama, Shinyanga wakati wadau mbalimbali walikuwa kila mtu na
wake
↧