Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi Wanaoshindwa Kulipa ADA Wasifukuzwe Shule

$
0
0
WAKUU wa shule za sekondari wilayani Namtumbo, wamepigwa marufuku kuwafukuza wanafunzi ambao wanashindwa kulipa ada na michango mingine kwa kuwa inawasababisha watoto kupoteza muda wao mwingi wa masomo na hatimaye kufanya vibaya katika mitihani yao.   Aidha wameshauriwa kutafutia njia mbadala na kuandaa utaratibu utakaowabana wazazi hao kulipa ada za watoto wao bila usumbufu, ikiwemo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>