Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Polisi Yaongoza kwa Rushwa.....TRA, Mahakama na TAKUKURU Nao Wamo

Baadhi ya watendaji wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), pamoja na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), ni miongoni mwa watendaji wa taasisi nne ambao wametajwa katika utafiti kuwa...

View Article


Lowassa Ageuka Mbogo......Asema hana Haja ya Kutumia Pesa Kumnadi Mtu,...

WAZIRI Mkuu wa Zamani Edward Lowassa, amekanusha taarifa zilizochapishwa na gazeti moja la kila wiki iliyosema “Lowassa apanga safu”, akisema hana haja ya kufanya hivyo wala kutumia fedha kumnadi...

View Article


Familia, polisi, kanisa wamtenga askari aliyejiua kwa risasi mdomoni.....Mama...

Polisi aliyejiua kwa kujipiga risasi mdomoni, Aloyce Mafuru (24), amezikwa katika makaburi ya Mugumu, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara bila huduma za kidini na kijeshi.   Askari huyo aliyekuwa dereva...

View Article

Diamond Akanusha Kupewa Milioni 500 na Lowassa ili Ampigie Kampeni....Asema...

Meneja  wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amesema hawajawahi kupewa kiasi cha fedha Sh mil 500 na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, ili wampigie kampeni za urais...

View Article

Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz Lawekwa Hadharani.......Wapiga Picha...

Hatimaye zile tetesi  kwamba mwigizaji Wema Sepetu na msanii wa muziki Ommy Dimpoz wanatoka kimapenzi  zimekuwa kweli kwa zaidi ya asilimia 200....   Tetesi  hizo  zimethibitishwa na picha waliyopiga...

View Article


Alichokijibu Mbunge James Mbatia kuhusu ishu ya kusema kuwa Mrema ana UKIMWI

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) alitoa hoja binafsi Bungeni kwamba Mbunge James Mbatia amekuwa akipita Jimbo la Vunjo na kuwaambia wapigakura wasimchague Mrema kwa sababu ana  UKIMWI....

View Article

Amanda Poshy: Msinipangie Wavazi ,nikivaa nguo fupi ni Mimi na kama Najiuza...

Mwigizaji wa filamu, Amamnda Poshi amewatolea uvivu wanaomponda kwa kuvaa nguo fupi huko Instagram.  Amanda  amewataka  mashabiki  wake  kuachana  na  maisha  yake  binafsi  kwa  madai  kuwa  kama...

View Article

Bunge Laahirishwa hadi March 17, 2015.....Serikali Yaahidi Kuwashughulikia...

Mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya muungano umemalizika leo kwa bunge kujadili na kupitisha maazimio ya jinsi ya kumaliza migogoro ya ardhi nchini. Katika maazimio hayo yaliyopokelewa na serikali ,...

View Article


Albino Vijijini HATARINI Kupata Saratani ya Ngozi

Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanaoishi vijijini, wana hatari ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi. Kauli hiyo ilitolewa na...

View Article


Tume ya Utumishi wa Walimu Kuanza kazi mwezi wa Saba

Serikali imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai  mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu. Waziri wa...

View Article

Mikoa 6 TAABANI Katika Ujenzi wa Maabara

Mikoa sita 'imevurunda' katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo. Waziri Mkuu,...

View Article

Alikiba kuhusu collabo na Diamond: Nikiwa na wimbo unaomfaa ntamshirikisha

Alikiba amedai anaweza kumshirikisha Diamond kama tu akipata wimbo unaomfaa msanii huyo. “Ngoja nikwambie ukweli, sidhani kama ninaweza kuja kufanya kolabo na Diamond, ila nikipata wimbo ambao nadhani...

View Article

Mwasiti: Napromise March nitamuweka boyfriend wangu kwenye mtandao

Baada ya maswali kuwa mengi kuhusu uhusiano baina ya mtangazaji wa EATV/EA Radio, Sam Misago na mwimbaji Mwasiti Almasi, wawili hao wameamua kuzikanusha kwa pamoja taarifa hizo kupitia kipindi cha...

View Article


Dereva Bodaboda Atuhumiwa Kulawiti Mwanafunzi wa Chekechea Kibaha

Dereva bodaboda Ismail Lucas (16), mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani, anatuhumiwa kumlawiti mtoto  ambaye ni mwanafunzi wa Chekechea. Mama wa mtoto huyo (jina limehifadhiwa) alisema...

View Article

Wajawazito Wajifungua kwa VIBATARI Miaka Mitano-Masasi

Wajawazito wakazi wa kata za Sululu na  Matawale katika Halmashauri ya  Mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamekuwa wanajifungua kwa kutumia vibatari  muda wa usiku zaidi ya miaka mitano sasa. Diwani wa...

View Article


Mama mzazi wa Nay wa Mitego anahisi mwanae ni freemason na hataki kupokea...

Mama mzazi wa Nay wa Mitego anahisi mwanae ni mfuasi wa jamii ya siri ya freemason na ameanza kusita kupokea fedha kutoka kwake. Kwa mujibu wa mama yake, mafanikio ya haraka ya Nay yakiwemo kujenga...

View Article

Muswada wa Mahakama ya Kadhi kujadiliwa Bunge Lijalo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi. Akihitimisha shughuli za...

View Article


Wema Sepetu: Kwasasa Nimetulia, Nataka Kuolewa!

Wema Sepetu amechoka uhusiano wa boyfriend na girlfriend. Muigizaji hiyo wa filamu amesema anataka kuolewa. Wema alisema hayo jana kwenye reality show yake, In My Shoes baada ya meneja wake Martin...

View Article

Moto Wateketeza Babu, Bibi,Watoto na Wajukuu Dar es Salaam

Watu sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto  jijini Dar es Salaam. Janga hilo la moto limetokea jana saa...

View Article

Matokeo ya Kidato cha Nne ( FORM FOUR) Yakamilika

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.   Katibu mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema kuwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>