Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tume ya Utumishi wa Walimu Kuanza kazi mwezi wa Saba

$
0
0
Serikali imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai  mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani alisema serikali imekubali kuanzisha tume hiyo ya kuhudumia walimu nchini ili kuepuka walimu kuhudumiwa na wizara mbalimbali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>