Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Albino Vijijini HATARINI Kupata Saratani ya Ngozi

$
0
0
Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanaoishi vijijini, wana hatari ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu wa Ngozi mkoani Dodoma, Ludovick Kowo, katika warsha ya mafunzo ya afya bora na utunzaji wa ngozi kwa albino wilayani Kongwa.   Alisema kutokana na ukosefu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles