Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Tangazo la Mafunzo ya Ujasiliamali Ambayo Yatatolewa Bure Kabisa...... Zaidi...

Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  Mradi  wa  Elimu  Ya  Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini, inatangaza  nafasi  za  MAFUNZO  YA  UJASIRIAMALI.  Mafunzo  yatakayo  tolewa  ni  pamoja...

View Article


UNYAMA: Mtuhumiwa Aua Polisi Kwa Panga Dodoma

Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu...

View Article


Hii ni taarifa ya idadi ya watu ambao hufariki kila siku kwa Saratani Tanzania

Wataalamu wa afya wamethibitisha kuwa saratani ni janga la kitaifa huku takwimu zaidi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa huo zikionyesha Watanzania wengi hupoteza maisha kila siku.   Mkurugenzi wa Taasisi...

View Article

Video inayoonyesha Rais Mugabe akianguka kwenye ngazi

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe tumesikia mara nyingi akiwa na migogoro na mataifa ya Ulaya, Marekani ishu kubwa ni kitendo cha Mugabe kuonekana akiendelea kung’ang’ania madaraka kwa kipindi kirefu....

View Article

Benki ya I&M Yazindua Huduma ya kwanza ya mfumo wa kielekroniki ya masaa 24...

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking...

View Article


Serikali Yaapa Kunusuru Manyanyaso ya Machinga Nchini

SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya...

View Article

Wizara ya Elimu yazidi kuzibana shule binafsi

WIZARA ya Elimu na Ufundi imesema itazifutia usajili shule zote za serikali au binafsi, zitakazobainika kukaidi agizo la wizara hiyo lililotolewa wiki iliyopita la kuacha kuweka viwango maalumu na...

View Article

Mzizi wa fitna kwa madiwani wa CHADEMA Waliofukuzwa Jijini Mwanza Kukatwa

JOPO la wanasheria lililoundwa kutoa tafsiri ya sheria katika sakata la kufukuzwa kwa madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Ilemela, mkoani Mwanza,...

View Article


Walimu wanaokaimu Utendaji kata kukiona

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imeagiza kupewa majina ya walimu watakaobainika kukaimu nafasi za maofisa utendaji kata ifanyie kazi suala hilo.   Naibu Waziri,...

View Article


Kamati ya Bunge Yataka walimu Wote Nchini Wasajiliwe

KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini....

View Article

Mtuhumiwa Aliyeua Polisi kwa Panga naye Auawa na Wananchi.....Polisi...

Mtuhumiwa Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua askari Polisi G.7168 Koplo Joseph Swai, ameuawa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu, lililotumika...

View Article

Shindalo la Tutoke na Serengeti limebakiza wiki tatu .....Kazi kwako mdau,...

Dar es Salaam, Tanzania: 04th Februari, 2015. Kampuni ya pili kwa ukubwa katika utengenezaji wa pombe hapa nchini imeeleza kwamba kampeni yake inayoendelea ya “Tutoke na Serengeti” inaelekea ukingoni....

View Article

Wabunge "WAPANGA FOLENI" Kuzungumza na Lowassa Bungeni

Sina  uhakika  kama  Mbunge  wa  Monduli,Edward  Lowassa  anaweza  kupata  nafasi  ya  kupumzika  awapo  bungeni... Ni  nadra  na  mara  nyingi  haiwezi  kutokea  kumuona  Lowassa  akiwa  peke  yake...

View Article


Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa Bungeni

Muswada wa Sheria ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara hautajadiliwa katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma baada ya serikali kuuondoa kwa maandalizi zaidi.   Mwanasheria Mkuu...

View Article

Mrema Ageuka Mbogo Bungeni kwa wanaodai ana UKIMWI......Asema yeye ni mzima...

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) ametoa shutuma zake bungeni Dodoma akimtuhumu mbunge James Mbatia kuwa amekuwa akimpakazia mambo mabaya kwa wapiga kura wa jimbo lake kuwa ana UKIMWI.    Mrema...

View Article


Ray C Ajitolea Kumsaidia Daz Baba Kuacha Madawa ya Kulevya

Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.   Chanzo cha kuaminika...

View Article

Hussein Machozi Anaswa na Mchepuko wa Kizungu

Baada ya mwanamuziki Hussein Machozi kudaiwa kumtelekeza mkewe aliyemuoa nchini Kenya, hivi karibuni picha yake imenaswa akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Picha hiyo inamuonesha Hussein akiwa...

View Article


Aunt Ezekiel: Mimba yangu Sio ya Waziri Nyalandu

Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibainisha kuwa jambo hilo...

View Article

Bunge lapokea taarifa kuhusu migogoro ya Ardhi.....Kamati teule yapendekeza...

Bunge limetakiwa kutoa azimio la kusitisha zoezi la utoaji wa vibali kwa raia wa kigeni kuishi, kufuga na kumiliki ardhi pamoja na kufuta vibali vyote vilivyopo na kuwataka raia wa kigeni wenye vibali...

View Article

Kafulila Akwama Kufufua Sakata la ESCROW Bungeni.......Asema Bunge...

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>