Taasisi ya RafikiElimu FOUNDATION kupitia Mradi wa Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini, inatangaza nafasi za MAFUNZO YA UJASIRIAMALI. Mafunzo yatakayo tolewa ni pamoja na :
1. Jinsi ya kutengeneza mashine za kutotolea vifaranga wa kuku.
2. Uanzishaji na undeshaji wa taasisi zisizo kuwa za kiserikali.
3. Jinsi ya kutengeneza aina sita za
↧