Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Mkuu Amesema Leo Bungeni kuwa ni Sahihi Watoto wa Shule kutumiwa na CCM kwenye shughuli za Kisiasa

$
0
0
Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda amesema kuwa ni halali na ni sahihi kutumia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari (watoto wa shule) katika shughuli za kisiasa. Pinda ametoa kauli hiyo katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali ya mbunge wa viti maalum CHADEMA na Waziri kivuli wa Elimu Suzan Lymo aliyetaka kauli ya serikali kuhusiana na CCM kuwatumia wanafunzi wa shule

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>