Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hii ni taarifa ya idadi ya watu ambao hufariki kila siku kwa Saratani Tanzania

$
0
0
Wataalamu wa afya wamethibitisha kuwa saratani ni janga la kitaifa huku takwimu zaidi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa huo zikionyesha Watanzania wengi hupoteza maisha kila siku.   Mkurugenzi wa Taasisi ya Ocean Road Dk. Diwani Msemo wakati wa maazimisho ya siku ya saratani duniani alisema wengi wanaopata ugonjwa huo hufa kwa sababu wanakosa tiba, uhaba wa dawa na vifaatiba na pia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>