Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kafulila Akwama Kufufua Sakata la ESCROW Bungeni.......Asema Bunge Limewanyima Watanzania Haki Yao ya Msingi

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow. Lengo la hoja hiyo kwa mujibu wa madai ya Kafulila, ilikuwa kuwezesha Bunge, kufanya uamuzi mwingine wa alichoita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>