Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na
kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri
wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibainisha kuwa jambo hilo linautesa moyo
wake.
Akizungumza na Risasi jijini Dar, Aunt alifunguka
kwamba, mbali na kumzushia juu ya ujauzito huo, kuwa mara ya kwanza watu
asiowajua walieneza uvumi kuwa alikwenda
↧