Baada ya mwanamuziki Hussein Machozi kudaiwa kumtelekeza mkewe
aliyemuoa nchini Kenya, hivi karibuni picha yake imenaswa akiwa kimahaba
na mchepuko wa Kizungu.
Picha hiyo inamuonesha Hussein akiwa kifua wazi huku mwanamke huyo
akimchezea kifua sambamba na kumng’atang’ata shingoni .
↧