Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtuhumiwa Aliyeua Polisi kwa Panga naye Auawa na Wananchi.....Polisi Yawapongeza wananchi kwa Uamuzi huo

$
0
0
Mtuhumiwa Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua askari Polisi G.7168 Koplo Joseph Swai, ameuawa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu, lililotumika kwenye mauaji hayo.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari, alisema mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>