JOPO la wanasheria lililoundwa kutoa tafsiri ya sheria katika sakata la kufukuzwa kwa madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Ilemela, mkoani Mwanza, limekamilisha kazi yake.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema jana bungeni kwamba juzi alisaini barua kwenda Tamisemi akitoa uamuzi wa mwisho juu ya suala hilo.
Pinda alisema hayo wakati
↧