Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wajawazito Wajifungua kwa VIBATARI Miaka Mitano-Masasi

$
0
0
Wajawazito wakazi wa kata za Sululu na  Matawale katika Halmashauri ya  Mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamekuwa wanajifungua kwa kutumia vibatari  muda wa usiku zaidi ya miaka mitano sasa. Diwani wa  Kata ya Sululu, Peter Mrope alisema hayo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi.    Alisema kuwa hali ya zahanati sio nzuri na zaidi ya miaka mitano wakazi wake na kata ya jirani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>