Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.
Akihitimisha shughuli za mkutano wa 18 wa Bunge jana, Pinda alisema muswada huo umesogezwa mbele, ili Kamati ya Bunge ipate nafasi na muda wa kupitia na kutoa ushauri kwa Bunge.
Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya
↧