Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Watu Watatu wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji huko Kigoma

Watu watatu wamekufa na wengine hawajulikani walipo baada ya kuzuka mapigano ya kugombea ardhi kati ya Wafugaji na Wakulima katika kijiji cha Kinyinya kata ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani...

View Article


Muigizaji Wa Filamu Nchini Sherry Charles Magali Afariki Dunia.

Muigizaji wa filamu hasa za vichekesho nchini Sherry Charles Magali amefariki dunia jana saa nne asubuhi  katika hospitali ya rufaa Morogoro.    Sherry ambaye amecheza filamu nyingi amefariki baada ya...

View Article


Ufisadi wa kutisha.......CAG afichua Sh. milioni 214/- zilivyolipwa waliofeli...

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inayoishia Juni 30, mwaka 2013, imeanika matumizi mabaya ya fedha za umma. Ripoti hiyo imehusisha mashirika mengi ya umma yakiwamo...

View Article

JWTZ na Jeshi la China Wafanya Mazoezi ya Kijeshi Pamoja......Picha zote ziko...

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kamandi ya Jeshi la Wanamaji  kwa kushirikiana na Jeshi la Watu wa China wamezindua mazoezi ya siku 30 kwa kikosi maalumu cha Marine. Lengo la mazoezi...

View Article

Watu 40 wakamatwa mkoani Katavi baada ya kukutwa wakinywa pomba saa za kazi...

WAKAZI 40 wa Tarafa ya Inyonga, Makao Makuu ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekamatwa baada ya kukutwa wakinywa pombe asubuhi vilabuni na kwenye maduka yanayouza aina mbalimbali ya vinywaji....

View Article


Kimenuka sare za jeshi ( JWTZ) .....Meneja wa Diamond akamatwa na Polisi,...

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Diamond Platnumz, Nay wa Mitego na wasanii wengine waliovaa sare za jeshi kwenye show ya Fiesta Jumamosi iliyopita wapo matatani. Wasanii hao wamepewa amri...

View Article

Taarifa kuhusiana na bweni la wanafunzi wa shule ya Sekondari kuteketea kwa...

Ajali kubwa ya moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika, imetokea na kuteketeza bweni la wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mtakatifu Petro iliyopo eneo la Iwanzari, Tabora pamoja na vitu vyote...

View Article

Mwanajeshi wa JWTZ Aliyeua Mtu akimtuhumu kumsumbua Mkewe Afikishwa Mahakamani

Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na Mwanajeshi huyo. ****** Mwanajeshi wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita  akimtuhumu  kumsumbua  mkewe  wakati  wakiwa  baa, Octavian...

View Article


Kauli rasmi ya Serikali kuhusu tetesi za kuwepo 'mgonjwa wa Ebola' Nchini

Utangulizi Mnamo tarehe 18 Oktoba 2014, Wizara ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ya kuwepo kwa mgonjwa aliyehisiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola. Mgonjwa huyu aliyekuwa na umri...

View Article


Diamond Platnumz akamatwa na jeshi la Polisi.....Ahojiwa kwa masaa kadhaa na...

Baada ya meneja  wake  kukamatwa  jana  jioni  na wacheza shoo wake kukamatwa  leo  asubuhi, hatimaye Diamond naye amejisalimisha  Kituo cha Polisi cha Oyster Bay... Baada  ya  msanii  huyo...

View Article

Picha: Wengi wajitokeza kumzika msanii wa TMK Wanaume Family, YP

Mwili wa msanii 'YP' ambaye alifariki usiku wa kuamkia juzi katika hospitali ya Temeke Jijini Dar es salaam, umezikwa jana  kwenye makaburi ya Chang'ombe.   Mwili wa marehemu YP uliagwa jana mchana...

View Article

Vyeti vya Miss Tanzania 2014 vyaanza kuchunguzwa na RITA, ikibidi Polisi...

WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), imeanza uchunguzi wa vyeti vya Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu, baada ya kuibuka utata wa taarifa za kuwapo vyeti viwili vinavyotofautiana...

View Article

Pinda atangaza Rasmi Kuwania Urais 2015

Siyo tetesi tena. Sasa ni rasmi kwamba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amekuwa akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa atagombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu mwakani.    Alitoa uthibitisho...

View Article


Kiwango cha uwekezaji wa China kinavutia – Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anafurahishwa na kiwango cha uwekezaji wa makampuni ya Jamhuri ya Watu wa China katika uchumi wa Tanzania ambao...

View Article

Mauaji yasababisha machimbo kufungwa Kigoma

Serikali mkoani kigoma imeyafunga machimbo madogomadogo ya dhahabu katika kata ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, kutokana na kudaiwa kuwa chanzo cha mauaji ya watu watatu yaliyotokea...

View Article


Mgombea Udiwani 2015 Anaswa na Mwanafunzi Gesti

Mwanaume mmoja anayesemekana ni mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam, aliyetajwa kwa jina moja la  mzee Beno amenaswa akiwa chumba...

View Article

Rais Kikwete Asema Urais ni kazi ngumu sana....Aona muda wa kumaliza Ngwe...

RAIS Jakaya Kikwete amesema mfumo unaotumika Tanzania ambako Rais anatumikia nafasi ya uongozi kwa muhula wa miaka mitano na si zaidi ya miaka 10 ni mzuri na unaovutia kwa sababu unaiwezesha nchi...

View Article


Mume Ajinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya KUMUUA Mkewe kwa...

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.   Tukio hilo...

View Article

Majambazi yapora Sh. Bilioni moja Benki ya Stanbic Dar....Wafanyakazi tisa wa...

Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini Dar wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1 bilioni jana jioni.    Watu hao wanashikiliwa katika Kituo cha...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>