Utangulizi
Mnamo tarehe 18 Oktoba 2014, Wizara ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ya kuwepo kwa mgonjwa aliyehisiwa kuwa na
ugonjwa wa Ebola. Mgonjwa huyu aliyekuwa na umri wa miaka 17, jinsia ya
Kike na mkazi wa kijiji cha Bupandwa Tarafa ya Kahunda Wilaya ya
Sengerema, alilazwa akiwa na dalili za homa kali, manjano, kutokwa na
damu sehemu mbalimbali za
↧