Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mauaji yasababisha machimbo kufungwa Kigoma

$
0
0
Serikali mkoani kigoma imeyafunga machimbo madogomadogo ya dhahabu katika kata ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, kutokana na kudaiwa kuwa chanzo cha mauaji ya watu watatu yaliyotokea mwishoni mwa wiki kufuatia ugomvi wa kugombea ardhi katika kijiji cha Minyinya. Akihutubia wananchi katika kijiji cha Minyinya, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luten Kanal Mstaafu Issa Machibya amesema,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>