Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgombea Udiwani 2015 Anaswa na Mwanafunzi Gesti

$
0
0
Mwanaume mmoja anayesemekana ni mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam, aliyetajwa kwa jina moja la  mzee Beno amenaswa akiwa chumba cha gesti na mwanafunzi wa chuo kimoja kilichopo Kibamba jijini Dar. Tukio hilo la aina yake lilijiri Oktoba 20, mwaka huu ndani ya gesti moja  iliyopo Kimara-Suka jijini Dar es Salaam

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>