Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 40 wakamatwa mkoani Katavi baada ya kukutwa wakinywa pomba saa za kazi za ujenzi wa taifa.

$
0
0
WAKAZI 40 wa Tarafa ya Inyonga, Makao Makuu ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wamekamatwa baada ya kukutwa wakinywa pombe asubuhi vilabuni na kwenye maduka yanayouza aina mbalimbali ya vinywaji.   Wakazi hao ni pamoja na wanywaji wenyewe na wauzaji wa pombe hizo wakiwemo pia wachezaji wa mchezo wa pool ambapo walikiuka amri ya Mkuu wa Wilaya, Kanali Ngelela Lubinga ya kutocheza pool au

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>