Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi yapora Sh. Bilioni moja Benki ya Stanbic Dar....Wafanyakazi tisa wa Benki hiyo watiwa mbaroni

$
0
0
Watu 13 wakiwamo wafanyakazi tisa wa Benki ya Stanbic jijini Dar wanashikiliwa na polisi baada ya majambazi kuiba fedha zaidi ya Sh1 bilioni jana jioni.    Watu hao wanashikiliwa katika Kituo cha Oysterbay kwa uchunguzi zaidi wa uporaji huo uliofanywa na majambazi yenye silaha yaliyoingia katika Tawi la benki hiyo la Mayfair Plaza lililopo Barabara ya Mwai Kibaki na kutokomea na kitita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>