Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu Watatu wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji huko Kigoma

$
0
0
Watu watatu wamekufa na wengine hawajulikani walipo baada ya kuzuka mapigano ya kugombea ardhi kati ya Wafugaji na Wakulima katika kijiji cha Kinyinya kata ya Nyamtukuza wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma.   Mapigano hayo yametokea siku ya Jumatatu (Oktoba 20) katika eneo la mashambani katika kijiji hicho, baada ya mfugaji mmoja kuuawa na mifugo yake kukatwakatwa Jumatano iliyopita,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles