Taswira za Mkutano wa CHADEMA jijini Arusha jana
Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akihutubia katika mkutano uliofanyika jana kwenye Uwanja vya...
View Articlewatu 7 wauawa kwa imani za ushirikina Kigoma
Watu saba toka familia Nne tofauti wameuawa na nyumba 18 zimechomwa moto Jumanne wiki hii katika kijiji cha murufiti wilaya ya kasulu mkoani kigoma, baada ya wananchi kuvamia wakazi wa nyumba hizo...
View ArticleRais Kikwete Ahudhuria Sherehe za Miaka 52 ya Uhuru wa Uganda
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akiwakaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Salva Kiir wa Sudani ya kusini kuhudhuria sherehe za Uhuru wa Uganda zilizofanyika huko kololo...
View ArticleBaraza la Maadili Latoa Amri ya Kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili. Akizungumza baada ya...
View ArticleRais Kikwete: Katiba Inayopendekezwa Imewajali Watu wa Rika Zote
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amewapongeza wajumbe wa bunge maalum la katiba kwa kupendekeza katiba ambayo imejali maslahi ya makundi yote wakiwemo wanawake na walemavu. Rais Kikwete amesema...
View ArticleWanaoandika Maneno ya Uchochezi kwenye kuta Wasakwa
Watu wasiofahamika, usiku wa kuamkia juzi wameandika maneno kwenye kuta ikiwamo ukuta wa Kampuni ya Bakhressa katika maeneo ya Tazara wakidhihaki Katiba Inayopendezwa sanjari na aliyekuwa Mwenyekiti...
View ArticleMpira wa Katiba Mpya sasa kwa Wananchi
Ni msemo maarufu wa wahenga ambapo Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein aliutumia vilivyo juzi katika hotuba yake baada ya yeye na Rais Jakaya Kikwete kupokea Katiba Inayopendekezwa kutoka kwa...
View ArticleAfande Sele: Katiba aliyokabidhiwa Kikwete ina makosa mengi, haitodumu
Rapper na mwanaharakati Seleman Msindi aka Afande Sele amezungumzia makabidhiano ya katiba mpya yaliyofanyika juzi katika viwanja vya Jamhuri Dodoma ambapo spika wa bunge maalum la katiba, Swamwel...
View ArticleShughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November
Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, amesema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye...
View ArticleIrene Uwoya kuja na ‘Kisoda’, akanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na na Msami
Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amesema anajiandaa kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’. Uwoya amesema alisafiri hadi Afrika Kusini ili kutafuta location tofauti zitakazoifanya filamu hiyo...
View ArticleDCI awasilisha jalada la Mbowe kwa DPP
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI), Isaya Mungulu amesema jalada la upelelezi wa kesi ya mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limeshakabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa...
View ArticleJambazi Sugu lililokuwa likiwaua kwa Risasi wanawake jijini Arusha Lauawa na...
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limefanikiwa kumuua jambazi aliyekuwa anajihusisha na mauaji ya wanawake mkoani humo ajulikanae kwa jina la Ramadhani Abdallah Jumanne mwenye umri wa miaka 37. Jamabazi...
View ArticleVideo 5 HATARI Toka Ndani ya Jumba la Big Brother Africa Ziko Hapa
Huu ni Mkusanyiko wa Episodes 5 za Matukio yote yanayotendeka ndani ya jumba la Big Brother Africa tangu lianze Jumapili ya tarehe 5. Katika mkusanyiko huu wa Video,...
View ArticleRais Museven amekataa watu kusalimiana kwa kushikana mikono
October 9 2014 nchi ya Uganda iliazimisha uhuru wake huku rais wake Yower Museven akizungumza mambo muhimu matatu kwa wananchi wake ambapo ishu ya kwanza ni kuwataka wananchi wake kuwa makini kutokana...
View ArticleMaofisa polisi 120 watimuliwa
Maofisa wa Polisi wapatao 120 wa Jeshi la Polisi, waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya kupandishwa vyeo katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), wametimuliwa chuoni hapo. Habari za uhakika...
View ArticleMwalimu wa Sekondari Auawa Wakati Akifanya maombi kanisani
Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani. Tukio hilo...
View ArticleKimbunga cha Kinana Chawazoa Katibu wa CHADEMA na wafuasi wake 26 Nyololo,...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akionesha kadi 27 za wananchama wa Chadema waliokihama chama hicho na kujiunga na CCM kaatika mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Nyololo, wakati wa ziara ya...
View ArticleWema Sepetu, King Majuto Na Diamond Platnumz Kucheza Filamu Pamoja
Msanii maarufu wa filamu nchini King Majuto amesema kuwa ana nia ya kufanya filamu ya pamoja na Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Akizungumza na Bongo5, King Majuto ambaye filamu zake nyingi zinafanya...
View Article"Sina Uhusiano Wa Kimapenzi Na Master J" - Shaa
Shaa ambaye ni mwimbaji maarufu wa vibao vya Sugua Gaga na Subira amekana kuwa na uhusuiano na producer maarufu wa muziki wa kizazi kipya Master J. Akizungumza na jarida moja linalotoka kila mwezi...
View ArticleMiss Tanzania kufanyika leo Mlimani City jijini Dar
Shindano la kumsaka mrembo wa Tanzania linatarajiwa kufanyika leo, ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, ikiwa ni ruhusa kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutupilia mbali pingamizi...
View Article