Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwalimu wa Sekondari Auawa Wakati Akifanya maombi kanisani

$
0
0
Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani.    Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Ijumaa wakati mwalimu huyo pamoja na mwenzake aliyetambuliwa kwa jina moja la Themistocles ambao ni waumini wa Kanisa la Pentecostal Asemblies of God (PAG)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>