Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya
Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu
mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani.
Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Ijumaa
wakati mwalimu huyo pamoja na mwenzake aliyetambuliwa kwa jina moja la
Themistocles ambao ni waumini wa Kanisa la Pentecostal Asemblies of God
(PAG)
↧