Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amesema anajiandaa kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’.
Uwoya amesema alisafiri hadi Afrika Kusini ili kutafuta location tofauti zitakazoifanya filamu hiyo kuvutia.
“Filamu ya Kigoda ni filamu ya aina yake katika filamu ambazo
nimewahi kuzifanya,” amesema Uwoya.
“Filamu inahusu drama and music,
imeshagharimu pesa nyingi sana. Ndani
↧