Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia
alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C
Foundation’, amesema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dimbwi la
matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni.
Ray C amesema kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango
wa kuachia kazi yake mpya lakini majukumu ya kijamii
↧