Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November

$
0
0
Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, amesema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dimbwi la matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni.   Ray C amesema kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake mpya lakini majukumu ya kijamii

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>