Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Afande Sele: Katiba aliyokabidhiwa Kikwete ina makosa mengi, haitodumu

$
0
0
Rapper na mwanaharakati Seleman Msindi aka Afande Sele amezungumzia makabidhiano ya katiba mpya yaliyofanyika juzi katika viwanja vya Jamhuri Dodoma ambapo spika wa bunge maalum la katiba, Swamwel Sitta alimkabidhi rais Jakaya Kikwete katiba inayopendekezwa. Afande Sele amempongeza rais Kikwete kwa hatua hiyo lakini akaonya kuwa katiba hiyo ina makosa mengi.   “Kwa namna yoyote

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>