Rapper na mwanaharakati Seleman Msindi aka Afande Sele amezungumzia
makabidhiano ya katiba mpya yaliyofanyika juzi katika viwanja vya
Jamhuri Dodoma ambapo spika wa bunge maalum la katiba, Swamwel Sitta
alimkabidhi rais Jakaya Kikwete katiba inayopendekezwa.
Afande Sele amempongeza rais Kikwete kwa hatua hiyo lakini akaonya kuwa katiba hiyo ina makosa mengi.
“Kwa namna yoyote
↧