October 9 2014 nchi ya Uganda iliazimisha uhuru wake huku rais wake
Yower Museven akizungumza mambo muhimu matatu kwa wananchi wake ambapo
ishu ya kwanza ni kuwataka wananchi wake kuwa makini kutokana na tishio
la magonjwa ya Marburg pamoja na Ebola hivyo waache kusalimiana kwa
kushikana mikono pamoja na kukumbatiana bila kuwepo ulazima wa kufanya
hivyo.
Alisema magonjwa hayo kwa
↧