Msanii maarufu wa filamu nchini King Majuto amesema kuwa ana nia ya kufanya filamu ya pamoja na Wema Sepetu na Diamond Platnumz.
Akizungumza na Bongo5,
King Majuto ambaye filamu zake nyingi zinafanya vizuri sokoni alisema
kuwa amekutana na Wema hivi majuzi na kumueleza hilo na kumtaka
azungumze kuhusu project hiyo ili Diamond akikubali wafanye kazi pamoja.
Majuto alisema kuwa
↧