Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baraza la Maadili Latoa Amri ya Kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe

$
0
0
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili. Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles