Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete: Katiba Inayopendekezwa Imewajali Watu wa Rika Zote

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amewapongeza wajumbe wa bunge maalum la katiba kwa kupendekeza katiba ambayo imejali maslahi ya makundi yote wakiwemo wanawake na walemavu. Rais Kikwete amesema hayo  mjini Dodoma wakati alipokuwa akikabidhiwa katiba iliyopendekezwa na wajumbe wa bunge maalum la katiba mara baada ya kumalizika kwa vikao vya bunge hilo maalum la katiba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>